Genesis 10:21-26

21 aShemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.


22 bWana wa Shemu walikuwa:
Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.

23 cWana wa Aramu walikuwa:
Usi, Huli, Getheri na Mesheki.

24 dArfaksadi alikuwa baba wa Shela,
naye Shela akamzaa Eberi.

25 Eberi akapata wana wawili:
Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.

26 Yoktani alikuwa baba wa:
Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Copyright information for SwhKC